Maajabu duniani Azifukua Maiti na Kuzivika Suti Mpya

INDONESIA: Kabila la Torajan la nchini Indonesia wamefukua maiti za ndugu zao kwenye makaburi na kuzivika nguo mpya.
Tukio hilo hufanyika kila baada ya miaka mitatu ambapo hufukua maiti na kuzivika nguo mpya ikiwa ni pamoja na kubadili majeneza ya zamani na kuweka mapya.3811f78800000578-3780998-image-a-25_1473390691004
3811f78800000578-3780998-image-a-25_1473390691004
Maiti baada ya kufukiliwa na kuvalishwa suti mpya.
3811f7de00000578-3780998-image-a-27_1473390697972
3811f7de00000578-3780998-image-a-27_1473390697972
Ndugu wakionesha maiti iliyovikwa suti na nyingine ambayo haijavikwa suti.3811f8c500000578-3780998-image-a-30_1473390732158
3811f8c500000578-3780998-image-a-30_1473390732158
Maiti baada ya kuvikwa nguo tayari kurudishwa kaburini.
3811f8e700000578-3780998-image-a-33_1473390742374
3811f8e700000578-3780998-image-a-33_1473390742374
Ndugu wakipiga picha na maiti.
3811f85e00000578-3780998-image-a-35_1473391129257
3811f85e00000578-3780998-image-a-35_1473391129257
Picha ya maiti iliyopigwa akiwa hai na baada ya kufukuliwa.
3811f88a00000578-3780998-image-a-28_1473390723903
3811f88a00000578-3780998-image-a-28_1473390723903Maiti ikirudishwa kwenye jeneza tayari kwa kuzikwa tena.
Baada ya kuzivika nguo hizo tukio la kupiga picha za kumbukumbu hufuata na baada ya tukio hilo maiti hizo hurudishwa kwenye makaburi yao na kufukiwa tena.
Tamasha hilo hujulikana kwa jina la Ma’nene.