HII NDO SEHEMU YENYE HISIA KALI KWA MWANAMKE AMBAYO UKIMSHIKA LAZIMA AKUNG'ANG'ANIE NI NOUMAAA!

G-SPOT
Sehemu hii iko ndani ya uke ambayo inapata hisia kubwa sana ikibonyezwa
bonyezwa,sehemu­ hii ipo sentimeta 5 kutoka mlango wa uke na iko katika ukuta wa juu wa uke.
Sehemu hii ikibonyezwa na kuchezewa ipasavyo mwanamke anaweza akapiz mara mbili au zaidi kwa wakati mmoja. Hii ni njia rahisi ya kumfikisha mwanamke kileleni, mwanaume aingize kidole kwenye uke na kubonyeza na kusugua sehemu ya juu ya uke ,sehemu hii imekaa kama sponji na huwa ngumu kwa kadiri inavyobonyezwa.
Mwanamke anaweza kujisikiakama anataka kukojoa kabisa na hawezi kukojoa ila raha atakayopata ni kubwa sana.