RIAS MSTAAFU JAKAYA MRISHO KIKWETE AFUNGUKA MAZITO KUHUSU SUMAYE , ASEMA CHADEMA WANACHEZA MCHANGANI>>>
Kikwete: Ningeshangaa sana(Msindai) ungekaa muda mrefu kule, hufanani nako, hufanani nao
Wanacheza mchangani,
"Mtu uliwahi kuwa waziri mkuu, sasa unagombea uenyekiti wa wilaya, sijui yeye na Kubenea atashinda nani!"
Wanacheza mchangani,
"Mtu uliwahi kuwa waziri mkuu, sasa unagombea uenyekiti wa wilaya, sijui yeye na Kubenea atashinda nani!"
— Sayari Ya Watu (@sayariyawatu) July 23, 2016