Tatizo la Chunusi na Namna ya Kulikabili soma hapa upate maarifa za kukufanya uonekane mpya kila siku
zinatokea kwa sababu Mvulana au msichana
anafikia hatua ya muhimu ya maisha ya kutoka
utotoni kwenda katika utu uzima.
balehe, tezi za ngozi zinazozalisha mafuta
mafuta yanayolainisha ngozi hutenda kazi zake
kwa uchangamfu mkubwa na kuzalisha mafuta ya
ngozi yaitwayo ‘sebum’.
na kuleta mwonekano wa kisichana unaopendeza
na kuvutia.
inasababisha vinyweleo katika ngozi vizibe na
kuleta tatizo la chunusi.
sana zinatazamwa kama ugonjwa wa ngozi na
hili linaweza kuwa tatizo la kurithi.
au ndugu walikuwa na chunusi nyingi, kuna
uwezekano mkubwa wewe pia kupata chunusi
kwa wingi.
msichana kupata chunusi. Hii huwatokea
wasichana wengi wanaopata hofu wakati wa
mitihani au muda mfupi baada ya hedhi
ukweli kuwa mahangaiko ya kihisia husababisha
chunusi, tatizo la chunusi pia husababisha tatizo
la mahangaiko ya kihisia kwa wasichana wengi
wanao hangaikia urembo na uzuri wa ngozi ya
usoni.
hawafurahii kile wanachokiona katika kioo
wanapojipodoa, lakini ukweli ni kwamba chunusi
hazitoshi kuwa chanzo cha kumpotezea
msichana raha na furaha katika maisha yake.
msichana hana budi kushughulikia tatizo hili kwa
namna ambayo inadumisha afya ya mwili na akili
zake.
na asubuhi.
Fanya hivyo pia unapomaliza kufanya mazoezi au
unapotokwa na jasho.
kulala usiku bila kusafisha uso au kuoga. Hii
itasaidia kuondoa mafuta kwenye ngozi na
kupunguza bakteria wanaoshambulia na
kusababisha uvimbe wa chunusi.
usizishikeshike ili kuepuka makovu meusi usoni
na hatari ya kupata uvimbe wa uso pamoja na
ugonjwa hatari wa ubongo (cavernous sinus
thrombosis).
kukamua chunusi, anaweza kupoteza maisha
kama hakupata matibabu ya haraka na ya
uhakika na katika hali kama hii mtu mwenye
imani za kishirikina anaweza kufikiri kuwa
amerogwa.
kuepuka kutumia vipodozi vyenye mafuta na
vichocheo vya steroidi hasa katika sehemu zenye
kuathiriwa na chunusi.
kugusana na ngozi ya usoni au mgongo iepukwe.
mwanga wa jua kila siku hasa wakati wa asubuhi
ili sehemu zenye chunusi zipate mwanga wa jua
kwa muda wa wastani.
kuimarisha afya ya ngozi na kuuwa bakteria
wanaosababisha chunusi kuvimba.
kwani kukaa kwenye mwanga wa jua kwa muda
mrefu hasababisha ngozi kuzalisha mafuta kwa
wingi na kuongeza tatizo la chunusi.
pia linaweza kusababisha saratani ya ngozi,
kuzeeka kwa ngozi mapema au ngozi kuwa na
mikunjo na kukaukiana.
nafaka na mboga za majani husaidia mwili
kupambana na tatizo hili.
glasi moja kutwa mara tatu kila baada ya saa 8
kwa kipindi cha mwezi mmoja, husaidia katika
udhibiti wa chunusi.
karoti zilizopondwapondwa na kuziacha zikae
usoni kwa zaidi ya dakika 20 kila siku kabla ya
kuziondoa kwa kunawa maji.
A inayosaidia ngozi ili isipate makovu meusi
yatokanayo na chunusi.
siku na hakikisha pia unapata mapumziko na
usingizi wa kutosha kila siku.
zenye vichocheo vya ujinsia kama vile vidonge
na sindano.
vile ‘benzoyl peroxide cleanser, anza na 2.5%, 5%
na hatimae 10%, kusafisha sehemu zote zenye
chunusi.
chunusi juu ya ngozi na kuifanya ngozi iwe kavu
na kupunguza mafuta katika ngozi.
zinazidi hata baada ya kutumia tiba hiyo hapo
juu, onana na daktari kwa matibabu zaidi.