Ombi la Rais Magufuli kwa Watanzania mwaka 2017
Rais Magufuli amendika maombi hayo kupitia ukurasa wake wa Twitter ambapo pamoja na kuwaomba Watanzania kutekeleza mambo hayo amewatakiwa Watanzania heri ya mwaka mpya.
“Ombi langu kwa Watanzania wote tuulinde,tuutunze na kuudumisha umoja wetu ktk mwaka 2017 kwa kufanya kazi kwa bidii. MUNGU IBARIKI TANZANIA,” ameandika Rais Magufuli.