Shaffii Dauda Apita Katika Jumba la Diamond Nchini South Afrika na Kuandika Haya

BY @shaffih - Nikiwa njiani#afcon2017gabon nimekutana na @diamondplatnumz kwenye flight moja,connection ya another flight to Libreville-Gabon ilikuwa ni baada ya masaa 7,akanikaribisha nyumbani kwake kupata chai ikiwa ni pamoja na kusalimia kidogo familia yake ambayo inaishi hapa Pretoria-SA, asante sana shemeji @zarithebosslady pamoja na bi mkubwa wetu Sandra. Photo credit @kendrah_michael. Now on our way to Gabon!!!