MPANGO WA UKUTA WADORORA SASA CHADEMA yaipigia Magoti ACT Wazalendo, SIRI NZITO YATAJA INAYOITAFUNA CHADEMA......

MBOWE :-CHADEMA TUTAUNGANISHA NGUVU NA ACT WAZALENDO KUPINGA UDIKTETA.
Waswahili walisema usitukane Mamba ujavuka mto, msema huo waelekea kutimia kwa Freeman Mbowe na cdm yake kufuatia kudorora kwa mpango wao wa Ukuta sasa akimbilia kuomba msaada wa Zitto Kabwe na chama cha ACT Wazalendo.

“Hatuwezi Kukaribisha Watu Kama Mrema Au Cheyo Ambo Vyama Vyao Vimeamua Kushirikiana Na CCM, Tutazungumza Na ACT WAZALENDO Tulioshirikiana Bungeni, Wameonyesha Kuwa Wanapingana Na Udikteta Kwa Hivyo Milango Ipo Wazi Kwa Sisi Kuungana Nao (WAZALENDO) Kuunganisha Nguvu Za Vyama Vyetu”
Amenukuliwa Mbowe Na Gazeti la Citizen
Nini maoni yako? .sasa wale walo karirishwa eti Zitto Kabwe ana tumiwa na ccm, mamluki, anataka kuoa kwa kikwete. Awaaulize chadema kwa nini waliwadangan
? Maana leo zitto na ACT WAZALENDO wanaonyaekana wapinzani wa kweli, na sio ccm tena. Siku zote uongo huwa haudumu. Mtaendelea kuumbuka tu