Mnao Ajiri Mahouse girl (wasichana wa kazi) mnayafahamu haya???

Wasichana wa kazi hupewa wosia toka makwao......


Binti anapewa wosia kabla ya kwenda mjini kufanya kazi za ndani

WOSIA WA MAMA KWA BINTI YAKE ANAYEENDA KUFANYA KAZI YA UHOUSE GIRL.

Mama 1. Asha mwanangu umepata bahati ya kwenda mjini sasa lazima utubadilishie maisha wazaz wako ucpofanya tunayokuambia utaishia kurud kijiji kulima

Mama 2
Ww ndo mke halal wa boc wko kwahiyo ukifika uko chakarika mwnang umpate mumeo,,,hakikisha kaz zote za mke unazifanya mtengee maji ya kuoga,,mfulie na kunyoosha nguo zake,,mpe pole hatakama katoka kuoga,,mwambie maneno laini

Mama 3
Wanawake wa mjini wavivu akipata mimba tu anaenda kwao wngne hawatak hata kuguswa na waume zao mwanangu huo ndo wakat wakumpata mumeo hakikisha unampa haki zote za mume tumia ujuz wote wa jandon ili umpate

Mama 4
Wagombanishe kwa nguvu zako zote mfn siku mke akipika ww vizia utie chumvi nyng ili tu mume aone ww ni bora kuliko mkewe

Mama 5
Ukifika mjini hakuna mwanaume wa kukuoa zaidi ya boss wako au mwanae sasa kajikute mpole utarud kijijin umezeeka na wenzio wote utawakuta wameolewa