Showing posts with label Mapenzi. Show all posts

Sanchoka Akubali Kumpa Penzi Idris kwa Masharti Haya...!!!


MODO mwenye figa bomba, Jane Ramoy ‘Sanchi’ ameweka wazi kuwa, sasa amekubali rasmi kuingia kwenye uhusiano wa kimapenzi na mchekeshaji ambaye pia ni Mtangazaji wa Redio Choice FM ya jijini Dar, Idris Sultan lakini kwa masharti.Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Sanchi alisema:


“Ni kweli nilikutana na Idris kipindi f’lani kule Sauzi, akaonesha kunipenda na mimi nikavutiwa naye hivyo tukaanzisha uhusiano. “Niliporudi Bongo nikapata taarifa kuwa bado Idris anatoka na Wema, hapo ndipo nilipoamua kumpotezea. Alikuwa akinibembeleza kuwa, hayuko naye lakini nilibaini bado wapo pamoja, nikakaa kando


“Sasa hivi nimeamini kweli wameachana hivyo sioni shida kuwa hivyo sioni shida kuwa naye kwa kuwa ni mwanaume wa aina yangu lakini masharti ni kwamba, asiwe na michepuko na pia aoneshe kunipenda kweli, nikibaini tofauti sidhani kama nitakuwa na amani,”alisema Sanchi.


Idris aliwahi kutangaza kuwa ndiye anayemmiliki mdada huyo huku akimsifia kuwa ni kifaa kuliko aliyekuwa mpenzi wake, Wema Sepetu.

Read More »

Video ya staa na mrembo wa kibongo akichezesha makalio kwenye maji ni hatariiiiiiiiiiiiii



Read More »

Mwanaume Ukiwa Unafanya Haya Usilalamike Mkeo au Mpenzi Akichepuka

Ikifikia mke kukusaliti kwanza unahitaji kujiuliza kuna tatizo gani mpaka akafikia kukusaliti? Mwanamke anaekupenda sio rahisi kumsaliti ampendae hata akitongozwa na Sharobaro, Mzee Yussuf, Diamond hata Reginal Mengi.

Ikitokea mkeo kakusaliti kuna kitu nyuma ya pazia lako, ingawa wengi wetu tunasema hela na Gari vinawalainisha wanawake. Wengi waliosalitiwa basi hizi ndio kasoro zao:-

1 Kaowa mwanamke wa mtu (mwanamke alikuwa na mpenzi wake lakini jamaa kaingia wakati mwanamke anatamani ndoa)

2 Alikuwa na hela sasa kafulia hana kitu au alijifanya alikuwa na hela lakini baada ya kuowa mke anagutuka mume mchovu.

3 Humtoshelezi kwenye tendo la ndoa( humkojozi) kama umeowa mke ameshawahi kufikishwa kilima cha kilimanjaro pole yako fanya maujuzi umpeleke kilima cha Everest.

4 Ubahili hapa wengi wa wanaume ndio hupigiwa sana wake zao, mke anahitaji matumizi yake binafsi sio kula na kulala tu au kumnunulia madira na chocolate za kichina. kuna matozi wanahonga mpaka malaki na milioni halafu unawacha hela ya ugali unapikiwa pilau ukimaliza kula unakwenda kulala, bwege kama wewe lazima uchapiwe dadeki zako.

5 Huna muda wa maongezi na mkeo hujui hata nini anapenda,nini leo kimemkuta,wala huna future plan kwenye familia wewe ukali,mpira,vijiwe,kazi na marafiki tuu wakati rafiki yako wa kweli(mkeo) huna muda wa maongezi nae.

6 Kuwaachia marafiki kuzoweana sana na shemegi yao, sio kama vibaya kutaniana na shemegi yao lakini kuna mataani mengine hupitiliza. utakuta mpaka baadhi ya rafiki wanampigia simu shemegi yao wanaongea kwa masaa na vicheke kibao.

7 Kujifanya mkali kila wakati wewe uso umeukunja kama ngozi za pumb..u hujulikani kijana au mzee hujulikani leo umefurahi au umenuna. Tokea umuowe mkeo hujawahi kumtania hata siku moja.

8 Kuchepuka kuna baadhi ya wanaume walioowa nishawahi kuwauliza kwanini wanachepuka jibu lao kubwa wanasema hawajui. HUbaki kumalizia kusema eti hawa wanawake watakuwa na sumaku

Kuna baadhi ya mambo husababisha sisi wenyewe wake zetu kufikia kuchukua uamuzi wa kutusaliti, Kama ukali unafanya kazi mbona simba na ukali wake lakini kazungukwa na mabebez kibao

Read More »

Fumanizi: Kwanini wanawake hupenda kuwalaumu wanawake wenzao?



Huwa inatokea sana pale mwanamke anamfumania mume au mpenzi wake, kitakachotokea kama si kumpiga mwanamke aliyemfumania na mumewe, basi atamporomoshea matusi au kumlaumu sana. Si hivyo tu, hata pale mwanamke anapopata fununu kwamba mume wake au mpenzi wake anatoka na mwanamke fulani, sio kwamba atamkabili mumewe au mpenzi wake kutaka kujua ukweli wa jambo hilo, bali atakachofanya ni kumkabili mwanamke huyo iwe ni moja kwa moja au kwa kutumia wanawake wenzie ili wamfikishie ujumbe huyo mwanamke anayemtuhumu.

Je ni kwa nini hali hiyo hutokea……? 

Hapa chini nitajaribu kudadavua sababu kadhaa zinayowafanya wanawake kukimbilia kuwalaumu wanawake wenzao wanaowafumania na waume zao:
1. Kupinga kuhusu jambo hilo - Sababu kubwa inayowafanya wanawake kuwalaumu wanawake wenzao pale wanapowafumania na wenzi wao ni kwa kuwa ni rahisi zaidi kukabiliana na wanawake wenzao kuliko waume zao. Ingawa inawezekana mwanamke akawa anahisi kwamba mwenzi wake anatoka nje, lakini mara nyingi wanawake hupinga uwezekano wa jambo hilo kuwepo. Hiyo ni kwa sababu wakati mwingine mwanawake hutokea kumuamini mwenzi wake kupita kiasi, hivyo kutotaka kuruhusu mawazo ya aina hiyo yatawale kichwa chake. Hivyo basi kuwalaumu wanawake wenzao ni rahisi zaidi kuliko kujikagua na kuangalia kama mahusiano yake na mwenzi wake iwapo yana tatizo. Lakini kinyume chake huamini kwamba ni lazima mwanamke huyo ndiye aliyemshawishi mwenzi wake mpaka akakubali kutoka naye. Pia huamini kwamba kama mwanamke huyo asingejirahisisha kwa mwenzi wake, isingekuwa ni rahisi kwake kutongozwa na kukubali, ni lazima kulikuwa na aina ya kujirahisisha ili kumshawishi mwenzi wake atoke naye. Lakini pia wanawake wengi huchukulia kitendo cha mwenzi wake kutoka nje ni kama wamechokwa na sasa waume zao hawawataki. Hakuna mtu anayependa kuachwa, hivyo ni rahisi zaidi kuwakabili au kuwalaumu wanawake wenzao kuliko waume zao au hata kujilaumu kutokana na mahusiano mabovu na wenzi wao


2. Kuhisi kusalitiwa kama mwanamke - Kwa kawaida wanaume wana tabia ya, "kila mtu na lwake," tofauti na wanawake, wao wana tabia ya ushirikiano na wanaamini kwamba madhila ya mwenzake ni ya kwake pia. Hivyo kitendo cha kugundua kwamba mwanamke mwenzake amemsaliti jambo hilo humuumiza sana. Ingawa wanawake wanajua wazi kwamba mwanaume kutoka nje ni jambo rahisi na linalowezekana sana kutokana na asili ya wanaume, lakini huamini kwamba wanawake ni wamoja na hawapaswi kusalitiana wao kwa wao.

3. Kutafuta shabaha dhaifu – Baadhi ya wanawake huona ni rahisi zaidi kuwakabili wanawake wenzao kuliko waume zao. Hususan kama anamuogopa mumewe. Kama mwanaume ana historia ya unyanyasaji na upigaji wa wanawake halafu ikatokea mwanamke akagundua kwamba mwenzi wake huyo anatoka nje, kamwe haitatokea mwanamke huyo kumkabili mumewe. Kitakachotokea ni kwa mwanamke huyo kumkabili mwanamke mwenzie akiamini kwamba shari haitakuwa kubwa ukilinganisha na ya mumewe. Pia kuna baadhi ya wanaume wana tabia ya uzinzi na mkewe au mpenzi wake anajua kabisa kwamba ni vigumu kwake kubadilika. Hapa atakachofanya mwanamke huyo ni kukimbizana na wanawake wenzie anaowahisi kuwa wanatoka na mumewe au mpenzi wake huyo ili kuwapa ujumbe kwamba anawafahamu na anawafuatilia, akiamini kwamba watamwacha mumewe, hivyo haoni sababu ya kumkabili mpenzi wake.

4. Wanawake hawapendi kupoteza – Inapotokea mwanamke amegundua kwamba mpenzi wake anatoka nje, hujiwa na mawazo mengi sana, miongoni mwa mawazo hayo ni(i). Je kuna jambo amemkosea huyo mwenzi wake mpaka kufikia kiasi cha kumsaliti? (ii). Je Mwanamke huyo aliyotoka na mwenzi wake ni mzuri kiasi gani, au amemzidi na kitu gani hasa? Kama ikitokea akimkabili mwenzi wake kutaka kujua ukweli kuhusu jambo hilo halafu huyo mpenzi wake akasema hampendi huyo mwanamke na wala hamtaki ila huyo mwanamke ndio anajipendekeza kwake, hapo itakuwa ni rahisi kwake kumkabili huyo mwanamke kidudu mtu, kwani mpaka hapo atakuwa amethibitisha kwamba yeye ni mshindi kwani mwenzi wake yuko upande wake na si wa hawara yake.

5. Amepanga kuishi na mwenzi wake mpaka kifo kiwatengenishe- Kuna wanawake ambao wamejitolea na kujiapiza mioyoni mwao kwamba wao na wenzi wao wataishi pamoja labda tu kifo ndio kitawatenganisha. Hata kama itatokea ajue dhahiri kwamba mwenzi wake anatoka nje na amejitahidi kulijadili jambo hilo na mwenzi wake lakini haoneshi dalili za kuacha mchezo wake huo, basi ni rahisi sana kwa mwanamke kuhamishia hasira zake kwa wanawake anaowahisi kuwa wanatoka na mwenzi wake. Ukweli ni kwamba hakuna mwanamke anayependa kufanywa mjinga katika uhusiano, hata kama kiukweli watu waliomzunguka humwona kuwa ni mjinga kutokana na vitendo anavyofanyiwa na mwenzi wake, lakini anashindwa kuchukua maamuzi magumu. Hivyo basi ili kuondoa hiyo dhana ya kuonekana mjinga hukimbilia kuwakabili wanawake wenzie anaohisi wanatoka na mwenzi wake.

6. Anatoka na mwanamke anayemfahamu vizuri sana – Hii ni moja ya sababu nzuri inayoweza kutumiwa na mwanamke kuhalalisha kwamba ni kwa nini amkabili manamke mwenzie badala ya mwenzi wake. Kama inatokea mwanaume anatoka nje na rafiki wa karibu wa mkewe, mfanyakazi mwenzie au kibaya zaidi atoke na ndugu wa karibu, hapo ni dhahiri mwanamke anayo kila sababu ya kumlaumu mwanamke mwenzie. Na si hivyo tu kama inatokea anatoka na ndugu wa karibu labda tusema dada au mdogo wake wa kike, huwa inawaumiza sana wanawake na uwezekano wa ndugu kusambaratika ni mkubwa, kwani anashindwa kuamini kile kilichotokea. "Yaani hata ndugu yangu mwenyewe ananisaliti……" anaweza kujiuliza. Na kama ni shoga yake ndio kabisaa itamuuma zaidi. Ikumbukwe kwamba wanawake huwa wanashirikiana hisia. Kama inatokea anagundua kwamba yule rafiki aliyemuamini na ambaye anamshirikisha katika madhila yake kwa kumweleza matatizo yake na mwenzi wake, ndiye anayetoka na mpenzi wake, jambo hili huwaumiza sana wanawake kihisia

Read More »

Mambo haya Haya huchangia Mwanaume kuwa mchovu kitandani

Kuna malalamiko mengi sana yamekuwa yakitolewa na wanawake na wengine kufikia kuvunja ndoa au mahusiano kwa sababu tu wanaume wao wameshuka kiwango au ham imeisha kabisa ya tendo.

Lawama hizo wamekuwa wakiwatupia wanaume bila kuangalia uhalisia wake.

Ukweli ni kuwa wanawake wenyewe ndo wamekua chanzo kikubwa cia tatizo hili.

Sababu zifuatazo kwa ufaham wangu ndo zinasababisha:

UCHAFU:
Wanawake siku hizi wanashindwa kujifanyia usafi ipasavyo miili yao kitu kinachosababisha mwanaume kukereka na hamu kwisha.

KAZI:
Wanawake wa siku hizi inafahamika kuwa wanafanya kazi,mwanamke anarudi kazini na uchovu, stress, katukanwa na bosi wake, amepata loss, ametongozwa na boss na kutishiwa kufukuzwa kazi kama atamkataa, amesikia fununu za ridandasi n.k,mwanamke kama huyu hawezi kuwa na ndoa imara.

KUTOKUWA MUWAZI:
Hili ni tatizo kubwa, wanawake hawapo wazi kama hawajatosheka kitandani hivyo wanaenda kulalamika nje na pindi mume apatapo taarifa hunyong'onyea kwa sababu anajua watu wanajua mkewe hamtoshelezi.

UFUJAJI:
Mwanamke mfujaji mume wake lazima atakuwa na tatizo hili.

LUGHA CHAFU:
Lugha ni nguzo nyingine inayochangia tatizo hii, unakuta mume maumbile yake madogo, badala mwanamke kutumia lugha nzuri anatumia lugha za kashfa kitu kinachomfanya mume kupoteza kujiamini.

USHIRIKIANO:
Wakati wa tendo unakuta mwanaume anashughulika lakini mwanamke amelala kama hakuna kinachoendelea hali hii inakera sana!...

Sababu ni nyingi sana ila nasema wanawake wabadilike wao ndio nguzo muhimu sana hapa. Sisemi wanaume hawana lawama wanazo hasa, ULEVI, UVUTAJI SIGARA na KUFANYA KAZI KUPINDUKIA humfanya awe mchovu kitandani, lakini mwanamke anaplay part kubwa kwenye tatizo hili! Ladies mpo hapo?

NAWATAKIENI NDOA/MAHUSIANO IMARA!

Read More »

Huwa Napata Shida sana Nikikutana na Wanawake Wenye Hii Tabia

Huwa napata shida sana nikikutana na Wanawake wenye hii tabia...Unampenda Mwanamke kabisa from ur heart,unajipanga unampiga saundi..anakujibu,''How old are you kaka'' unamwambia am 29 years..utamsikia,''Oh my Ghosh,ur still a kid,mi nadate guys who are 45 years above...Wanajua kupenda,they are so caring,yaani nyie vijana mnasumbua sana''.Sio tunasumbua,anajua kabisa miaka 29 bado ndo unasaka hela,ndo umeanza maisha huna cha kumhonga,ukijitahidi sanaaa utampeleka shopping Karume na hiyo hela itakuuma kishenzi!

Anakuita Kid bila aibu wakati yeye ana miaka 23 tu halafu eti ana mahaba na jitu la miaka 47..Uongo mtupu!Ina maana mtu hawezi kupenda na kucare hadi afike miaka 45??Nyie semeni tu mnawalia timing coz mnajua mtu mwenye miaka 45 anakuwa ameshajipanga,amefanya kazi ana hela,unajifanya unampenda kumbe Parasite tu unataka kumnyonyoa mafao yake ya uzeeni,hamna hata aibu..Mnapenda sana vitu ready made,tengenezeni vya kwenu,ukiona mtu ana miaka 45 jua kuna Mwanamke mwenzio amefanya kazi kumfikisha hapo alipo,we unakuja unadandia tu,,,Kama kweli una mahaba tafuta mwanaume wako,panda nae daladala za Buguruni mrukie wote dirishani,msotee maisha kwa kutembelea TZ 11 hadi siku apate gari mfaidi wote halafu akifika miaka 45 uone kimwanamke cha IFM kinamsogelea eti hes caring uone inavyouma,utatamani umpige patasi ya kisogo...Gold diggers,waone kwanza,msione gesi mtwara mshaanza kuandamana!45years guy waiting for u student of 23 years,ina maana miaka yote hiyo alikuwa Stevie Wonder au??

Read More »

Njia 14 Za Kujiweka Ili Wanaume Watamani Kukufukuzia




Njia za kujiweka ili mwanaume apate nafasi rahisi ya kukutongoza

Kwanza jiweke nadhifu

Hii ni muhimu katika yote kama wataka mwanaume akutambue. Mwanaume kitu cha kwanza anachokiangalia huwa ni mwonekano wa mwanamke. Mwanaume anapoingia katika chumba, inamchukua sekunde ndogo zana kuamua iwapo anataka kuapproach mwanamke mfani au la.
Kama umevalia vizuri na unapendeza, itarahisisha kazi yako sana.

Pili usionekane kama una shughli

Usijishughlishe sana na simu yako, ama kitabu chako, ama kitu kingine. Unaweza kuwa umeboeka na unajaribu kujiweka buzy, lakini fursa iweza kuwa hivi, kufanya hivyo kunaweza kumfanya mwanaume anayetaka kukuapproach kuona ya kuwa uko buzy sana kiasi cha kuwa atashindwa kukufuata kwanu unaweza usiwe interested na maongezi yake.

Tatu ni kuwa mko ligi moja?

Hii inakinzana na hatua ya kwanza, lakini inaweza kuwa na tatizo iwapo unaoneka kama uko ligi tofauti na mwanaume. Kama utaoneka amakujiweka mtu wa hadhi ya juu wanawake watapenda kukuangalia lakini hawatakuaproach. Hii ni kwa sababu wanaume wengi hawapendi kudhalilishwa wakati wanapoamua kukuapproach....kiufupi ni kuwa ukiwa unavutia kupindukia wanaume watakuogopa.
Lakini tena, kuna wale wanaume ambao wanajiamini kupindukia ambao wanajua thamani ya kukuapproach, nao ni wanaume alfa, wanaume diriki, na pia wale wanaume mapleya.

Kama wataka kuteka atenshen ya mwanaume mzuri wa kawaida lakini anayeogopa kukuapproach, jaribu kutumia mbinu ya kuwa jamili na watu wanaokuzunguka. Huwa inasaidia.

Ujanja wa kumfanya mwanaume aweze kukuakuaproach

1. Jinsi utakavyovalia

Usivalie kana kwamba huna kitu cha kuficha. Utapata atenshen ya kila mtu lakini wanaume ambao wataamua kukuapproach ni wale ambao wanataka kulala nawe kwa usiku mmoja pekee. Enyewe kuvalia kwa kutamanisha kunasaidia kuteka atenshen ya mwanaume, lakini usivuke mipaka ya kawaida.

Kumbuka kuwa si lazima uonyeshe viungo vyako vyote vya mwili ili uweze kuteka macho ya mwanaume. Kama unavutia inatosha kumfanya mwanaume akugundue.


2. Unavyomuangalia

Mchungulie mara moja na nyingine, halafu mwangalie mara kwa mara. Hakikisha ya kuwa haujisahau ukamwangalia sana kupindukia ama atakuona kama wewe ni rahisi wa kuapproach na anaweza kukupuuza.

3. Mitindo ya kumwangalia

Kuna mitindo miwili mikuu ya kumwangalia mwanaume ili kumuonyesha ya kuwa umevutiwa naye. Unaweza kutumia mbinu zote mbili kulingana na vile unataka.

i) Kumwangalia polepole - wakati ambapo unaangalia pande zote, angalia upande wake na uyaangalie macho yake kwa sekunde kadhaa huku ukiweka tabasamu. Halafu pole pole zungusha kichwa chako uangalie kwingine. Mbinu hii ni ya kijasiri ya kumwonyesha mwanaume umevutiwa kwake.

ii) Kumwangalia kwa uharaka - hii ni mbinu ya kumwangalia kwa uharaka. Anza kumuangalia, ukiona kama anataka kukuangalia, ghafla angalia kando halafu utoe tabasamu ukiangalia chini. Mbinu hii inampa confidence na kukuona wewe ukipendeza.

4.Mfanyie kazi iwe rahisi

Inakuwa vigumu kwa mwanaume kumuapproach mwanamke sehemu ambapo yuko kundini na marafiki zake. Kama mawazo yako ni kufuatwa na mwanaume, hakikisha ya kuwa wakati mwingine unajipa time ukiwa pekeako ama zaidi uwe na rafiki yako wa kike mmoja.

5. Sehemu zifaazo

Si kila sehemu ni nzuri kufanya maongezi na mtu. Kama unataka mwanaume akuapproach, chagua sehemu ambayo si kila mtu ataanza kujeuza kichwa chake kutaka kujua ni nini kinachoendelea kati yenu. Sehemu za mkawahawa, supermarket, ama bookshop ni sehemu nzuri zaidi za kukutana na mwanaume kupiga stori.

6. Mpatie nafasi aongee na wewe

Hata kama uko katika group na marafiki zako halafu mwanaume akakugundua, mwonyeshe interest kwa kumuangalia kwa madakika. Ukiona kama yuko tayari kuongea na wewe, unaweza kujitenga na marafiki zako kwa muda. Aidha unaweza kuanza kuzunguka hio sehemu kiasi ama unaweza kujipeleka mahali ambapo itakuwa rahisi kwa mwanaume huyu kuzungumza na wewe.

7. Tabasamu

Onekana jamili, na nafasi ya wewe kufuatwa na wanaume itaongezeka mara dufu. Kupendwa kwa mwonekano wa kwanza ni kama baraka kwa mwanamke yeyote yule ambaye anataka macho ya mwanaume yamwone.

8. Usiboeke

Kuwa mwanamke mwenye furaha na mwenye hisia chanya mahali popote pale utakapokua. Mwanamke mwenye shangwe huvutia mwanaume yeyote yule. Kama utaonyesha chembechembe za kuboeka, mwanaume anayetaka kukuapproach anaweza kuwa na maswali mengi ya kujiuliza kwani ataona ya kuwa maisha yako huboesha na yasiyo na mwanga.


9. Usiwe mjeuri

Kama wewe ni mjeuri kwa yeyote, aidha weita ama mmoja wa rafiki yako, inaweza kutokea kuwa mwanaume ambaye anapania kukuapproach kusimamisha ari yake. Hakuna mtu anapenda mtu mjeuri, na hakuna mwanaume angependa kuapproach mwanamke ambaye anaweza kumpuuzia ama kumkataa.

10. Usitangamane na wanaume

Hii ni muhimu kwa mwanamke yeyote aelewe. Usiwahi kamwe kutangamana na marafiki zako wa kiume kama unataka kukuwa approached na mwanaume. Haitafanya kazi kamwe.

11. Mwonyeshe kuwa uko intrested

Mwonyeshe kuwa uko interested kwake kwa kutaka kumjulia hali zaidi. Hata kama uko na marafiki zako mnaongea halafu amekaa karibu na wewe, mwangalie iwapo anakuangalia hata kama unawajibu rafiki zako.

12. Onyesha uanawake wako

Mwangalie mara kwa mara, halafu ukishika macho yake, peta nywele zako nyuma ya sikio lako. Inaweza kuonekana kama jambo dogo kwako, lakini kwa mwanaume ni kama kugonga ndipo.

13. Mchokore

Pita mbele yake halafu mwangalie machoni mwake wakati unapompita. Mtese kihisia, ataipenda kuona atenshen yake.

14. Usilazimishe

Utakuwa unajiaibisha iwapo unalazimisha mambo. Wanaume si mabubwi, hivyo ukiwaangalia mara moja na nyingine ama kuwatabamia, wanajua kuwa uko tayari kuapprochiwa.

Ok hizi ni mbinu ambazo unafaa kuzitumia kama unataka mwanaume yeyote yule akunotice ama akufukuzie.

Read More »

SMS Za Nguvu Za Kutumia Baada Ya Kupewa Namba Na Mwanamke

Ok. Umefuata mbinu ya moja kwa moja ukamfanya mwanamke akakupatia namba yake ya simu.

Uliongea naye na uliona anavutia kupindukia...

Ulikuwa ama alikuwa na haraka hivyo hukupata nafasi ya kuongea naye kwa muda mrefu bali ulichukua namba yake ya simu.

Sahizi umeachwa hujui ufanye nini!

Je umpigie simu ama umtumie ujumbe mfupi?

Utasema ama utamwambia nini baada ya kuwasiliana naye?

Je, utamuuliza kama atoke deti na wewe au la?

Ok bila kupanic, mbinu ya kufanikisha maswali haya ni rahisi...

Mwanzo ni rahisi kama kusema A...B...C...

SMS za nguvu za kumtumia mwanamke siku ya leo baada ya kukupatia namba

1. Funga deti na yeye 
Jambo la kwanza kabisa ambalo unafaa kufanya wakati ambapo atakuachia namba yake ya simu ni uhakikishe ya kuwa unamwomba atoke deti na wewe. Na meseji unayohitajika kumtumia ni kama ifuatayo...

"Hi. nlikuwa nahakikisha kama umefika nyumbani salama. Nimefurahia sana kukutana na wewe. Ningependa tukutane wakati mwingine. Jumamosi nitakuwa free. Nije nikuchukue wakati gani?"

SMS hii huwa inafanya kazi kwa mambo mawili: Jambo na kwanza ni kuwa inamfanya ajihisi yuko salama, yani kujiona ya kuwa kuna mtu anadhamini maslahi yake, jambo ambalo wanawake wengi wanatamani kuwa nalo.

Pili ni kuwa unamlazimisha kujiazima. Aidha akubali kutoka deti na wewe ama kukukataa papo hapo. Kivyovyote vile utaujua msimamo wake.

Kama atakubaliana na wewe na kujibu sms yako,  turuke katika hatua ya pili.

2. Mfunge kwa kumpigia simu
Kabla kutoka deti na yeye lazima ufahamu mambo angalau kidogo kumhusu. Kujua mambo kadhaa kumhusu kutakupa wewe nafasi ya rahisi kuifanya deti yako na yeye kuvutia, bila kuboesha. Pia kumpigia simu kunajenga ile hisia ya mapenzi ambayo hujitokeza katika mazungumzo ya simu.

Pia unataka kumjulisha ya kuwa uko interested na yeye, lakini usiivuke mipaka yako hapa. Meseji ya pili inafaa ienda hivi:

"Poa. Natumai kukutana na wewe hio siku. Nitakupigia simu wakati flani kukujulisha vile tutavyoendelea. Kesho inaweza kuwa siku nzuri kwako?"

 Kutumia meseji hii ina nguvu zifuatazo:  Unaufunga mchezo wako wa simu. Unamwambia ya kuwa deti yenu itafanikiwa. Pia unamwambia ya kuwa unapanga sehemu ambayo unapania kukutana kwa deti. Kiukweli ni kuwa utajua vitu ambayo anapenda wakati ambapo utampigia simu, na hii itakuwa kama msingi wenu wa kwanza katika deti.

Halafu sasa itambidi akujibu. Na hapa ndipo maongezi yenu yataanza kupanda kwa kasi. Haswa kama amependezwa na wewe.

Mwanzo meseji ambazo atakuwa akituma baada ya hizi mbili kutaashiria kwako kuweza kutoka deti na yeye mara kwa mara...na hata kufanya kufikia level ya texts za kimapenzi.



Read More »

Kwa Nini Wanawake Huwakataa Wanaume Flani



Ushawahi kujiuliza kwa nini wanawake wengine ukianza kuwatongoza wanakupa jibu zito ambalo unashindwa kulielewa la: "Mimi na wewe ni kama marafiki"?

Jibu hili hupokewa na wamaume wengi ambao bado hawajakomaa katika nyanja ya kutongoza na kudeti wanawake. 

Hili ni tatizo ambalo mara kwa mara hujitokeza iwapo hautaufuata mpangilio stahili ambao unapaswa kuutumia unapoaproach mwanamke.

Unajiona ya kuwa unatongoza mwanamke, kila kitu unachofanya ama unachotaka kutoka kwake anaitikia (isipokuwa muingiliano kimwili), lakini ile siku unapoamua kuufungua moyo wako na kumwambia ya kuwa unampenda anakuzima na kukatiza matumaini yako ambayo ulikuwa tayari umeyaweka katika akili yako.


Kutaka kujua kwa undani swala hili (tayari sababu zake tulikuwa twazijua) tuliamua kukusanya maoni kutoka kwa baadhi ya wanawake warembo kutaka kujua ni kwa nini wanawakataa wanaume ambao wamekuwa wakijaribu kuonyesha upendo wao kwa muda mrefu. Na majibu tuliyoyapata yalikuwa mamoja, yaani walikuwa wakilenga swala moja kuu ambalo lilikuwa likiwachosha.

Nalo ni...

Wanaume ambao hujionyesha kuwa ni watulivu na wasiokuwa na pupa.

Ok mbona wanaume aina hii wanawachosha wanawake na mwishowe kuwakataa?

Kulingana na maoni ya wanawake hawa ni kuwa wanaume aina hii huonyesha tabia ambayo inawafanya automatically kuwaingizwa katika kategoria ya 'marafiki'

Hivyo kutoonyesha matamanio yako kama mwanaume kwa mwanamke ama kuonyesha kuwa wewe ni mwanaume mnyenyekevu kunakuchongea wewe katika azma yako ya kumshawishi mwanamke yeyote.

So makosa ya mwanaume aina hii ni yapi?

Ok hebu tuichukulie mifano ifuatayo...

Je wewe ushawahi kuaproach mwanamke na kumwomba namba yake ya simu kwa kumwambia: "Hello, unaweza kuniazima namba yako ya simu? Labda siku moja tunaweza kuwa pamoja..."

Ama unapomuagiza kutoka naye deti unamwambia: "Hi, kikundi changu kinakutana siku ya Jumamosi, naonelea uungane nasi, itakuwa siku ya furaha..."

So tatizo hapa linajitokeza kivipi?

Wanawake wanapenda mwanaume mwenye nishati, nguvu na uwezo wa kuamua haraka haraka, mwanzo akiona mwanaume aina hii huwa anasisimka papo hapo. Unamuacha na maswali ya kutaka kujua zaidi kuhusu maisha yako ya undani.

So kuonyesha nishati aina hii utafanyaje?

Wakati mwingine ambapo utakutana na mwanamke unamwomba namba yake, toa simu yako, mpatie na umwambie hivi: "Shika. Niwekee namba yako kwa simu yangu. Ntapenda nikutoe out siku moja." 

Kufanya jambo hili moja pekee kutakuwa kumekufanya ujitokeze kama mwanaume mwenye kujiamini, mwenye nguvu, na nishati ambaye anapigiwa upato na wanawake wengi. Na kamwe hatakuweka katika kategoria ya 'friend zone'

Ni rahisi ama?

Ok wakati mwingine unapoaproach mwanamke nataka uonyeshe nishati yako kama mwanaume, nataka uonyeshe kuwa wewe si mwanaume wa kuingizwa katika kategoria ya 'urafiki'. Mwanzo nataka uonyeshe ushupavu wako kwa kuzitumia mbinu tatu ambazo zitamfanya mwanamke akuheshimu sehemu yeyote pale ambapo atakuona. Nataka udhihirishe ya kuwa wewe ni mwanaume alpha ambaye hatikishiki na jambo lolote lile.

Read More »

Jinsi Ya Kuwavutia Wanawake Bila Kutamka Neno lolote



Ushawahi kujikuta katika hali ambayo unashindwa kujua utaanza vipi kuongea na mwanamke? Ni mwanamke mzuri ambaye moyo wako unamtamani lakini akili yako inashindwa kutengeneza mawazo ya jinsi utakavyoanzisha stori na yeye. Unabakiwa ukimuangalia akikupita mbele yako, ama mbaya zaidi anakuja kuchukuliwa na wanaume wasiokuwa na thamani yeyote kwa maisha yake. Unabakia na majutio na mawazo ya "kama ningeweza kujiamini mbeleni si ningem...." Well, tatizo hilo halijawahi kutokea kwako pekee bali kwa kila mwanaume wakati flani katika maisha yake na hatutaki lijitokeze tena mbeleni.

So chanzo cha wewe kutoweza kumtongoza huyu mwanamke ni kuwa akili yako ilikataa kutoa mazungumzo ambayo ungeweza kuyatumia kwa huyo mwanamke. Well, waonaje kwa mara moja tukubaliane na akili yako na tusitumie maongezi kuapproach mwanamke, na badala yake tutongoze kimya kimya?

Kutongoza kimya kimya ni mbinu rahisi sana, mwanzo ni rahisi kwa kuwa unapata kujua kama mwanamke anakupenda au la. So bila kupoteza wakati, hebu tuchambue mpango mzima.

Zama nami!

1. Kwa kutumia macho

Kila mtu anajua nishati inayotokana na kutumia macho. Macho ni kiungo ambacho wanaume wamebarikiwa nacho na akikitumia vizuri kinajeuka kama silaha nzito wakati ambapo unaitumia kwa mwanamke. Ushawahi kujiuliza ni kwa nini wakati mwingine mwanamke anashikwa na aibu/haya wakati unapomwangalia? Ama je ushawahi kumskia mwanamke akisema kuwa usimwangalie machoni mwake? Hii ni kwa sababu macho yanaweza kutumika kuongea maneno ambayo mdomo unaweza kushindwa kuongea.

Wakati utajipata ukimwangalia mwanamke, mwangalie machoni halafu utoe tabasamu. Kumuangalia kunaonyesha unajiamini. Kutabasamu unamwonyesha kuwa wewe ni salama na anaweza kuongea na wewe. Unaweza kusoma chapisho letu la awali ambalo linafafanua mbinu ya kutumia macho kuapproach mwanamke kwa kina.

2. Mfanye akugundue kupitia kutangamana kwako

Njia nzuri ya kusimama ili wanawake waweze kukutambua ni kupitia utangamano wako na wengine. Kujizunguka na wanawake wengi (haswa wale warembo) kutaashiria ya kuwa wewe ni aina ya mwanaume ambaye wanawake wanapenda kuwa naye. Hii itawafanya wanawake wengine katika hio sehemu kuwa na shauku ya kutaka kujua ni kitu gani ambacho kinakufanya wanawake wapende kuwa na wewe. Hii automatically itawafanya wanawake kuwa na umbea kukuhusu, kuvutiwa kwako, na hata kuingiwa na wivu wa kwa nini haujawaingiza katika kundi lako. 

Mbinu hii ni moja wapo ya sosholojia ya wanawake, kimaumbile wanawake hupenda vitu ambavyo wanawake wengine hupenda. Hivyo kama wewe unamtaka mwanamke flani na hutaki kutumia maongezi, anza kutangamana na marafiki wake wote isipokuwa yeye, mwishowe utamwona akijileta yeye mwenyewe, tena ujitayarishe na mapema kwa kuwa atakuja na presha ambayo kama hukujipanga vizuri inaweza ikakulemea.

3. Matumizi ya banta bila kuongea
Banta ni mbinu ya kuonyesha ucheshi, mchezo na mzaha wakati wa kuongea na mtu. Mbinu hii pia inaweza kutimizwa bila kutumia mazungumzo ili umfanye mwanamke aweze kuvutiwa kwako.
Kwa mfano, kama ulishatumia mbinu ya macho kuwasiliana na mwanamke na unataka kuendeleza shughli kwa kutumia banta, njia rahisi ni kumuonyesha nyuso za ucheshi. Jifurahishe na uwe mcheshi - toa ulimi wako nje - pinda macho yako - weka uso wowote ule wa kipuzi ambao unajiskia. Hii ni njia rahisi ya kumfanya mwanamke atabasamu akiwa mbali, na itakuwa rahisi kwako kumuapproach na kuendea na yeye iwapo ataonyesha dalili za kupendezwa na wewe.

4. Mvutie na mwonekano wako

Ukitaka kumvutia mwanamke kiurahisi basi ni muhimu kubadilisha mwonekano wako. Mbinu hii tuliieleza kwa kina katika chapisho la jinsi ya kubadilisha mwonekano wako uwavutie wanawake. Kwa kawaida, wanawake wanapenda kushufu wanaume ambao wanavalia kinadhifu.
Lakini hapa usichukulie makosa. Kubadilisha mwonekano hakumaanishi ya kuwa unapaswa kuvalia nguo ghali ama za thamani ya juu. La hasha. Kubadilisha mwonekano kunamaanisha kuvalia nguo safi, nadhifu na ambazo zinaashiria hulka yako. Usijitese kuvalia nguo ambazo haziwiani na wewe kwani kwa mwanamke ni rahisi kukugundua kama umejeuka mwigo.

5. Ishara ya mwili wako 

Wanawake wanaweza kujua mengi kukuhusu kwa kuangalia miondoko yako ya mwili pekee. Kama unataka kuonyesha ujiaminifu ambao utamfanya mwanamke akutambue, basi ni lazima mwili wako uonekana vile unapaswa kuonekana.
Kuonyesha confidence katika mwili wako unapaswa kufanya yafuatayo:
i) Simama wima - mwanaume thabiti akisimama anakuwa hivi; masikio yako yawe nyuma ya mabega yako, mabega yako yawe nyuma ya kiuno chako, kiuno chako kiwe nyuma ya kiwiko chako.
ii) Kaa kwa kujitanua - wakati umekaa katika kiti, hakikisha ya kuwa unachukua nafasi yote ambayo unaweza kuitimia. Egemea kwa kiti, itanue miguu na mikono yako, kichwa kiweke kiangalie juu.

iii) Jinsi unavyokaa - Usisogee sogee kama huna sababu zozote, usikunje miguu wala mikono, usiangalie chini, usijikune kichwa ama kutafuna tafuna.

iv) Unavyotembea - Tembea na sababu, tembea kwa kujiamini, tembea na njia thabiti.

Kuweza kukontrol mwili wako inakusaidia kuonekana mtu mwenye nguvu, wa kujiamini ambaye anapendwa na wanawake. 


6. Kuwa na hadhi ya juu

Mpaka sasa hili chapisho linaongea kuhusiana na kuwasiliana na mwanamke bila kuongea naye. So iwapo unataka mwanamke akunotice, wakati mwingine inahitajika kuwa na jitihada za ziada. Kukaa sehemu moja kungojea mwanamke akugundue haitakuwa ya fanaka kama vile ambavyo utaamka na kujifanya uonekane wewe mwenyewe.

So utafanyaje mpaka mwanamke akunotice? 

Tangamana na marafiki, jamiiana na kila mtu ambaye unamjua. Wakati umetoka matembezi au sehemu yako ya kujivinjari, ongea na kila mtu - wanaume, wanawake, wateja, wafanya kazi nk. Wanawake watauona uwezo wako wa kutangamana na kila mtu na watakuwa na interest ya kuongea na wewe. Ziada ni kuwa utakuwa unaonyesha ujiaminifu, urafiki, na uko na uwezo wa kujicontrol katika jamii - tabia zote ambazo wanawake wanaziona nzuri katika mwanaume. 


7. Wafanye wanawake wakufukuzie

Kufanya wanawake wakufukuzie inaweza kuwa rahisi sana. Kile ambacho unahitajika ni kutoka nje umakinike na kujifurahisha muda wote. Weka tabasamu katika uso wako na ujiinjoy wewe mwenyewe. Hii itamfanya mwanamke kukunotice na kutamani kuungana na wewe ili muinjoy pamoja.

Read More »

Kumfanya Mwanamke Aanze kukubusu au Kukukiss Wa Kwanza




Hatua #1: Mpeleke sehemu ya faragha
Hii haimaanishi kumtoa katika klabu aliyokuwemo, kwa sababu anaweza kukataa kuacha marafiki zake nyuma.
Unaweza kuenda katika sehemu iliyotengwa pembeni ambapo mnaweza kuongea sirini bila kutatizwa. Ama mnaweza kujitenga pamoja (kama mko katika kikundi kikubwa) kwa kumuuliza aandamane na wewe katika baa ama sehemu nyingine kando na hio klabu.

Hatua #2: Hakikisha yuko shwari kuongea, kubanta na wewe kabla hujaendelea zaidi
Kwanza ruhusu dakika chache za kuongea na kujiskia huru kabla ya kuvunja utangamano wenu kwa kujenga tenshen ya mapenzi.
Jambo la mwisho ambalo unataka kwake ni kuona akijutia busu lako, hivyo hakikisha kwanza kuwa anainjoy company yako kabla hujakimbilia hatua yeyote ya ziada.

Hatua #3: Wakati anazungumza kuhusu hoja isio na msingi ama akiwa ana banta, unaweza kuangalia upande aliko na umkate katikati ya sentensi.
Mwambie "Kusema kweli ni kuwa simakiniki na mada unayoizungumza. Kile ambacho nafikiria sahizi ni kukubusu."

Anaweza kushikwa na haya, kunyamaza ama kutojiskia huru, lakini ufunguo hapa ni kuendeleza na maneno haya: " Lakini SITAKI kukukiss kwa sasa kwa sababu unaonekana hauko tayari kwa busu la hakika. Kile ambacho tutafanya ni kufanya mazoezi ya kukiss."

Hatua 4: Pindi utakapo mwambia, mwonyeshe vile inapaswa kufanywa.
Mwambie kuwa atulie na asiingiwe na wasiwasi kuhusu kukuss kwa sababu hautambusu. Mwanzo muahidi kuwa hutamkiss na pia yeye atoe ahadi yake.

Hii ni hatua muhimu - hivyo makinika!

Wakati umeshatoa ahadi yako, mwekee mikono yako kwake na umsogelee pole pole.

Unaweza kuongea na yeye kwa upole lakini uwe unamsogelea karibu hadi midomo yenu iko karibu kugusana halafu pole pole unajisogeza mbali.

Hatua #6: Muulize "Si imekuwa furaha?"
Nafasi kuu hapa ni kuwa umemchangamsha na atataka ujaribu tena.
Kama hakuchangamshwa, unaweza kumuuliza tena mjaribu tena zoezi la kikiss (bila kumkiss kiukweli). Kufikia huu wakati, tenshen itakuwa imejijenga na kila wakati utakapofanya 'zoezi' la kumkiss, ndivyo atazidi kutamani umkiss kiukweli.

Hatua #6: Kama atakukiss, jiachilie umkiss kwa dakika chache halafu kiulaini jivute nyuma na useme haya maneno kidhihaka "ok, imetosha mvunja ahadi"

Baada ya hapo unaweza kubadilisha mada na kuongea mambo mengine, kana kwamba hakuna kitu kilichotokea.



Hatua #7: Baada ya muda, unaweza kujaribu kumuuliza yeye ajaribu tena kufanya mazoezi ya kukiss. Kama wakati uliopita, mwambie akuhakikishie ya kuwa hatakukiss. Mfanye kama alivyofanya awali.


Kufanya hivi mara zaidi kutafikia yeye kukukiss tena, wakati huu ikiwa na ashki zaidi.


So wakati mwingine ukiwa unajiskia kumkiss mwanamke lakini unatatizika fuata hatua hizi saba - na anaweza kukukiss wa kwanza

Read More »

Jinsi Ya Kutongoza Wanawake Wakubwa



Wanawake wakubwa huwa wanakuwa na ladha tofauti ikija kwa maswala ya mapenzi – ile ambayo wanaonyesha kupenda wanaume wadogo kiumri. Na kwa sababu wanaume wengi huwa wanavutiwa na aina hii ya wanawake, bila shaka wanaume hawa hutaka kujua jinsi ya kuwavutia wanawake wakubwa kiumri. Uzuri ni kuwa uhusiano na mwanamke aliyekushinda umri siku hizi inaonekana jambo la kawaida.

So, kama unataka kujua jinsi ya kuwatongoza wanawake wakubwa basi hizi mbinu saba zitakusaidia vizuri.

#1 Thamini kile ambacho anakupatia
Kama unataka kujua jinsi ya kutongoza wanawake wakubwa kiumri, basi unapaswa uthamini kile ambacho anacho. Kwa lugha nyingine ni kuwa unapaswa kusimamisha fikra zako za kuangalia miaka yake au mikunjano ya uso wake, na uanze kufikiria mambo ambayo anaweza kugawa na wewe ikiwemo mapenzi. Wanaume wengi hudhania kuwa wanawake wadogo ndio huwa na ujuzi ikija na maswala ya mapenzi lakini huwa si ukweli.

Ijapokuwa ni kweli kuwa kujua jinsi ya kutongoza wanawake wakubwa kunahitaji mmoja kuzoea, yaani utahitajika kuthamini na kutambua umri wake, kiujumla; utakuja kujua baadaemkuwa utakuwa umechukua hatua kubwa katika kudeti wanawake wadogo na wale wa wasiwasi. Kwa mfano hutapata mwanamke aliyekomaa akikimbia kwenda msalani ili kuongea na mashoga zake kuhusu deti aliyoko. Hii bila shaka itakuwa ni mwamko mpya wa kutongoza na pia utaboresha uwezo wako wa kutumia mistari kiurahisi na haraka.

#2 Mnyeshee heshima
Wakati unapojifundisha jinsi ya kumtongoza mwanamke mkubwa, weka kwa akili yako kuwa atataka kupewa heshima zake zaidi ya vile wanawake wadogo utakavyowapatia. Hii ni kwa sababu ana experience ya juu zaidi ya maisha. Na kwa sababu ambazo zitategemeana na yeye, mwanamke aina hii anaweza kuwa asiwe huru kufunguka na kukueleza maisha yake ya zamani ama kukufungukia kuhusu maisha yake. La muhimu zaidi ni kuwa usimwonyeshe kuwa lengo lako kuu kwake ni kumuonyesha kuwa unatoka deti na yeye ama una uhusiano wa kimapenzi na yeye kwa sababu huna jingine la kufanya au umelazimika. Michezo kama hii haiwezi kufanya kazi kwa mwanamke aina hii – kumbuka hilo.

#3 Muonyeshe kuwa wewe ni classy, mjanja na usiyesomeka
Kama unataka kujua jinsi ya kuwatongoza wanawake wakubwa waliokupita umri, basi ni jambo la muhimu kabisa kuhakikisha kuwa unakuwa mjanja na kuwa na tabia za kukomaa. Wanawake wakubwa tayari wanaexprerience ya kuwa na deti ambazo zilikuwa mbaya awali, so kama unataka kumshawishi mwanamke ambaye ni mkubwa wako kiumri vizuri, basi utahitajika kupandisha gemu yako iwe ya juu.
Kimsingi, wanawake wakubwa hawatakuwa interested na wanaume wenye nyege ambao wanashindwa kumaintain gumzo la kawaida mara kwa mara. Badala yake watatafuta mwanaume ambaye ni gentleman ambaye anaweza kuongea kuhusu mambo ya kisiasa na yule ambaye anaweza kutofautisha aina aina za duvai ama angalau yule ambaye anaweza kuchagua sehemu nzuri ya kutoka dinner. So, kadri unapozidi kuwa mjanja, ndipo inazidi kuwa rahisi kumtongoza mwanamke aliyekupita kiumri kuweza kuwa na wewe.

#4 Usijionyeshe
Kuonyesha vitu unavyomiliki ama kuonyesha ujuba wako hakutakusaidia kutongoza wanawake waliokupita umri. Siku hizi wanawake wanapenda kupata nafasi ya kuonekana kuwa wana madaraka flani, so mwanamke atapoteza interest na wewe haraka sana kama utaanza kujidai na kuringa kuhusu idadi ya wanawake ambao umefanya nao mapenzi ama idadi ya magari unayomiliki. Kama umevalia suti ya kushonesha ama una Mercedes ya gharama si lazima umwambie kuvihusu kwani atajionea yeye mwenyewe. Badala yake msifu na kumpongeza kwa mambo aliyofanikiwa kufanya. Hii ni njia rahisi ya kuweza kuwatongoza wanawake waliokupita kiumri na wakakukubali kirahisi.

#5 Jiamini
Njia nyingine rahisi ya kutongoza mwanamke aliyekupita umri ni kwa kuonyesha kuwa unajiamini kwa kila kitu unafanya au kuzungumza. Wanawake aina hii huwa kwa kawaida wanapenda wanaume ambao wanauwezo wa kutatua tatizo lolote ambalo watarushiwa usoni mwao. So, kama wewe ni mwanaume ambaye hujafikia kiwango cha kujiamini , basi ni wakati wako wa kuchukua hatua ya kuhakikisha ya kuwa unajenga ujiaminifu wa kuweza kuongea na wanawake. Unaweza kujifundisha kuhusu biashara, sanaa na mambo ya kisasa, silaha ambayo unaweza kuitumia iwapo mwanamke aina hii atazua mjadala akiongea kuhusu swala kama hili. Wanaume ambao wanaelewa kile ambacho wanaongea huwa wanakuwa na confidence zaidi mbele ya wanawake. Pia wanaonyesha utawala ikija kwa maswala ya mahusiano. Kama unataka kuwa bingwa katika kutongoza wanawake waliokupita umri, basi confidence itakuwa ni silaha kubwa katika mpango mzima.

#6 Yaweke mapenzi yawe ya hali ya juu
Kama unataka kumshawishi mwanamke aliyekushinda kimiaka vizuri, unafaa kuhakikisha kuwa unaweka mapenzi yawe juu. Hii inamaanisha kuwa, ijapokuwa hatakuwa na tabia za kama wanawake walio wadogo, unapaswa humchukulia kama mwanamke mdogo. Mnunulie chokoleti, maua na zawadi ndogo ndogo mara moja au nyingine. Msifu wakati amevalia nguo nzuri ama anapopendeza mnapotoka out. Mambo haya madogo madogo ambayo unamsifia mwanamke yatamfanya mwanamke kuwa na furaha na atapendezwa na wewe.

#7 Usitaje kuhusu utofauti wa miaka yenu
Na lile jambo muhimu la kuzingatia wakati wa kujifunza kutongoza wanawake waliokupita umri ni: kutotaja tofauti ya miaka yenu. Hata kama haujiskii huru na kuwa na yeye mara ya kwanza, hupaswi kuzungumzia swala hili. Ama unaweza kuharibu nafasi yako ya kumtongoza. Badala yake makinika na mambo ambayo yanahusiana nyote wawili, kama vile kuongea kuhusu mambo mnayopenda au kuongea kuhusu filamu. Pia unaweza kuingiza ucheshi katika mazungumzo yenu; hii hufanya kazi nzuri kwa mwanamke.
So hizi ndizo mbinu unapaswa kuzijua ikija na maswala ya kutongoza mwanamke ambaye amekushinda kiumri. Upo!

Read More »

SMS Ambayo Itamfanya Mwanamke Akutamani na kukubali haraka



Unaweza dhania kuwa kutuma ujumbe mfupi kwa mwanamke ili umsisimue haifai. Lakini kusema kwa hakika, inawezekana kumtumia mwanamke SMS ambayo inaweza kumsisimua na pia kupata atenshen kutoka kwake. Hii inaweza kufanya kazi vizuri iwapo umeingiwa na kibaridi cha kuongea na mwanamke moja kwa moja.

Kabla ujumbe ufupi kuvumbuliwa, wanaume walikuwa wakifuata mbinu nyingine kuonyesha kuwa wamevutiwa na wanawake waliowapenda. Walikuwa wakituma barua, kuambia rafiki wa rafiki zao ama kuwafuata na kuwapigia mbinja majumbani mwao. Lakini kwa bahati nzuri, hivi sasa kuna SMS, ambazo zina uwezo wa kutuma ujumbe mfupi hapo kwa hapo kwa mwanamke ili kurahisisha kazi yako ya kutongoza.

Kabla hujaanza kumvutia mwanamke, ni lazima kwanza umfanye akutambue kwa njia chanya kwanza. Mwanzo haupaswi kutumia SMS kumsisimua mwanamke mpaka ile siku ambayo utapata kumsoma na kumjua zaidi. Lazima ujipatie muda ili ujenge connection kati ya nyinyi wawili ili iweze kufanya kazi. Kufanya hivi kutatoa picha ambayo itajijenga katika akili yake wakati munatumiana jumbe za kimapenzi. Kama ulimpendeza sana ile mara ya kwanza alipokupatia namba yake ya simu, basi itakuwa rahisi kwa mpangilio wako uende sambamba kama vile unavyotarajia.

Pindi utakapoingia katika level nyingine ya kuliwazika na huyu mwanamke ambaye unamrushia mistari, mwonyeshe vile ambavyo umependezwa na yeye kwa kumsifu. Hakikisha kuwa unakuwa mpole katika SMS zako pia. Kama yuko darasani au kazini, usimtumie jumbe mpaka ule wakati ambao yuko huru na makini wa kujibu texts zako.

Kama hujui ni wakati gani atakuwa yuko free, unaweza kujaribu kumtext wakati uo huo ambapo amekupatia namba yake ya simu (hakikisha una makinika kama utaamua kumtumia jumbe wakati uo huo ili usionekane kuwa una uhitaji mwingi). Vizuri zaidi wakati unapomtumia huo ujumbe unapaswa umsifie kwa jambo ambalo umeliona wakati ambapo ulikuwa naye awali. Mfano unaweza kumsifia kitu ambacho ulikiona kama vile nguo nzuri, tabasamu lake, macho, mawazo yake nk. Jaribu kuhepa kugusia umbo lake wakati huo.

Kama umekuwa mkitumiana jumbe kwa muda sasa na mumetoka deti mara moja au mbili, unaweza kuanza kuingiza na kugusia maswala ya mapenzi katika SMS zenu ili kuanza kupasha misuli kwa mambo ambayo unamwandalia usoni.
Kutokana na mistari ambayo umekuwa ukiisoma kwa mitandao ama kuiskia kwa marafiki zako, unaweza kuanza kumtext mwanamke huyu mara moja moja huku ukitulia ukiskilizia kama atakujibu kwa kukubaliana nawe ama kukupinga. Ukiona kama kila ujumbe anaoujibu anajibu kwa njia chanya, basi ni wakati wa kwako usichelewe tena bali uhakikishe ya kuwa unatumia mbinu ambayo utaingiza mawazo yako kwa akili yake na hatokusahau milele – huwezi jua, labda meseji utakayomtumia baadaye itakuwa ndio meseji ya kumfanya ajeuke kuwa mpenzi wako.

Read More »

Mambo Ya Msingi Unapotongoza Mwanamke Katika Kikundi cha wanawake wengi,kamwe hachomoki



Kutongoza ni sanaa ambayo inahitaji mmoja kufanya mazoezi ya mara kwa mara ili aweze kuwa na ustadi ambao unaweza kumnufaisha au kumsaidia mhusika wakati ambapo anakabiliwa na tatizo la kumshawishi mwanamke. Ijapokuwa kuzijua sanaa hizi dhidi ya wanawake haitaonekana kuwa na ustaarabu katika jamii, kila mwanaume ana haki ya kuzijua na kutambua mbinu hizi.


Kitu cha kwanza ambacho unapaswa kujua ni kuwa kutongoza si matumizi ya mistari na miondoko ya mwili pekee bali pia ni subira. Kutongoza mwanamke kutachukua muda mwingi kutoka kwako hivyo unahitajika kuwa na imani. Kwa mfano kabla ya kuchukua hatua ya kuapproach mwanamke lazima upime manufaa na hasara ambazo zitakuja iwapo utaamua kutangamana na mwanamke ambae unakusudia kuwa naye.

Ikija swala la kumtongoza mwanamke katika kikundi cha watu, haya hapa ni baadhi ya mambo ambayo unapaswa kuwa nayo wakati unapokabiliana na windo lako.

#1 Kumsifia
Kama umetoka out hadi kwa klabu na marafiki zako halafu ukamwona mwanamke unayemtamani akiwa katika kikundi, muapproach na umuagizie kinywaji na uwe mkweli na mhakika wakati unapomsifia kuhusu umbo lake na nguo alizovalia. Weka katika akili yako kuwa mwanamke anapenda kusifiwa kwa nguo alizovaa, hairstyle yake, macho yake, ucheshi wake na pia marashi aliyoyapaka. Pia, hakikisha kuwa unaspend muda mwingi zaidi hata kama klabu inaenda kufungwa. Kama umeongea na mwanamke huyu usiku huo, hakikisha kuwa unamwambia kuwa umependezwa na kuspend muda na yeye.

#2 Jiamini
Confidence ni nguzo ya kila mwanaume ambayo anapaswa kuwa nayo wakati wowote ule. Mwanaume anayejiamini anatambulika haraka na wanawake. Hivyo lazima uwe na confidence wakati unapotangamana na wanawake. Hii inamaanisha kuwa lazima uonyeshe confidence mbele ya umati na pia uonyeshe kuwa una interest na yeye hata kama umezungukwa na watu. Confidence ni lazima kama unataka kumtongoza mwanamke. Usifikirie sana kuhusu jinsi utakavyompendeza kwa sasa lakini. Kwa kujionyesha wewe mwenyewe bila kujifanya mtu mwingine kutakusaidia zaidi kuliko kuwa muigo wa mtu mwingine ili uonekane mzuri.

#3 Kujieleza
Wakati unapomtongoza mwanamke katika umati, ni bora zaidi kuweka toni ya sauti yako chini na ambayo itavutia kadri uwezavyo. Hii haimaanishi kuwa unapaswa kumnong’onezea, la. Kile unachopaswa ni kuweka wazi sauti yako aisikie vizuri na mara kwa mara umuonyeshe tabasamu ambalo utalichanganya na mvutio wa macho yako. Pia wakati unapoongea onyesha ujuba na maneno unayoyatamka. Hii itamfanya akuone kuwa wewe una interest kwake na unataka kuendeleza aproach yako zaidi.

Wakati utakapokuwa umeuchukua muda wako kuongea na mwanamke na kumuonyesha kuwa uko interested na yeye, jaribu kutafuta ishara ambazo zinaonyesha kuwa pia yeye amevutiwa ama anahisi kama vile unahisi wewe. Ishara hizi utaziangalia kupitia miondoko ya mwili wake. Je anapinda mwili wake upande wako? Je kifua chake amekienua ili uone ukubwa wa matiti yake? Je anacheka mizaha yako hata kama haichekeshi? Kama umeona kuwa amevutiwa na wewe kupitia ishara hizi, basi rudi nyuma na umngojee yeye aanze kuchukua hatua. Hii ni njia hakika ya kumfanya amaintain interest na wewe.

Read More »

Mambo ya kuzingatia katika kuchagua mpenzi au mke wa maisha



Ikiwa wale wanaokusudia kuoana hawataki kuwa na mashaka mengi wala kuwa na mambo kadha wa kadha ya kuwanyima furaha baada ya kufunga ndoa, imewalazimu kufikiria vyema na kwa moyo wote juu ya jambo hili na kwa wakati huu kabla ya kuoana. Ikiwa hatua hii itafanywa kipumbavu, itakuwa mojawapo ya mambo makuu mno yawezayo kuharibu mafao ya mvulana ama msichana wawapo wamekwisha kuoana. Kwao maisha yataonekana kuwa kama mzigo wa laana. Kaitka ulimwengu huu hakuna awezaye kumnyima mwanamke furaha, ama kumharibia maisha na kufanya yamuelemee na kumchoma moyo zaidi ya mumewe; na hali kadhalika hakuna mwenye uwezo wa kupooza matumaini na jitihada za mwanaume na kuposha nguvu zake, kuharibu mvuto wake na maendeleo yake zaidi ya mkewe. Mara nyingi ni tangu dakika ile baada ya harusi ambapo maisha huanza kuwaelemea wanawake na wanaume wengi. Ndoa ni jambo ambalo lina mvuto katika ulimwengu huu, na litakuwa na mvuto katika ulimwengu ujao pia.

Wengi hawaelewi vyema muungano huu wa ndoa. Wengi wao hudhani ya kwamba, muungano huu ni mojawapo ya njia ya kufikia upeo wa furaha; lakini laiti wangefahamu kiasi kidogo tu cha uchungu walionao wale waliounganishwa kwa kiapo cha ndoa ambacho kimewafunga kwa minyororo wasiyothubutu kuikata, hawangeshangaa kwa maelezo haya. Ndoa nyingi zinazofungwa huwa ni mkatale wa huzuni. Kuna maelfu ya watu waliounganishwa katika ndoa lakini hawapatani.

Wale wanaofikiria kuoa ama kuolewa ni lazima wajishauri vyema kuhusu hali na mwenendo wa ndoa wanayokusudia kuwa nayo. Ni lazima vijana wafanye uchunguzi wa kutosha katika mambo yanayohusu kuchagua mpenzi na kufanya uchumba. Ewe kijana mwenzangu, jihadhari ili kile unachodhania kuwa ni dhahabu ama lulu safi kisije kikawa takataka tu. Jambo hili halipaswi kufanywa haraka. Wakati ungali bado unaweza kupenda, jihadhari usije ukapenda kama kipofu.

Fikiria sana uone kama maisha yako na yule unayemchagua kuwa mwenzi wako wa maisha yatakuwa ya furaha ama ya kutopatana na kuhuzunisha baada ya harusi. Wanawake na wanaume wengi wameoana kana kwamba jambo la pekee lililowapasa kulijali ni kuwa wanapendana au la. Kuchagua mwenzi wa maisha kwafaa kufanywa kwa busara ili kuwawezesha wazazi na watoto pia, kuwa na hali nzuri kiroho, kiakili na kimwili.

Mambo ya kuzingatia katika kuchagua msichana wa maisha
Kijana wa kiume unapaswa uchague msichana ambaye atasiamama kando yake na ambaye ataweza kuchukua sehemu ya mzigo wa maisha yake, mke ambaye mvuto wake utamfanya mumewe na heshima na kumwezesha kuwa na mwenendo mwema, na ambaye kwa jili ya upendo wake, atamfanya kuwa na raha maishani mwake.

Ewe kijana wa kiume na mwanaume mwenzangu naomba ujishauri kwa uangalifu mkubwa kuhusu mambo haya yafuatayo na bila shaka kama yakizingatiwa kwa umakini yatakuwa msaada mkubwa kwako wewe mvulana mwenye nia ya dhati ya kuoa;


Je huyo unayekusudia kumuoa atafanya nyumba yenu iwe ya furaha?
Je yeye ni mwangalifu awezaye kutunza mali, ama akishaolewa hatapoteza mapato yenu tu bali pia atazitawanya mali zenu huku akionyesha upendo wa juu juu tu?
Je huyo unayemtaka awe mwenzi wako ana hofu na kumcha Mungu?
  • Je ana afya njema?
  • Je ana bidii katika kazi?
  • Je msafi wa kimwili na kiroho?
  • Je ni mlevi?
  • Je ni mtii, mnyenyekevu na mwenye adabu?
  • Je anajiheshimu na kuvaa mavazi yenye heshima?
  • Je ni mwaminifu?
  • Je ni mtu anayetunza siri katika uhusiano wenu?
  • Je ni mkristo, mpagani au mwislamu mwenzangu?
  • Je mwenendo na tabia yake ikoje kwa wakati huu?


Nafahamu kwamba mvulana ambaye ametumbukia katika kisima cha mapenzi atayadharau maswali haya kana kwamba hayana maana wala manufaa yoyote, lakini hayana budi kufikiriwa kwa umakini na kwa ungalifu mkubwa zaidi.

Wakati wa kuchagua mke, tafakari na uelewe tabia na mwenendo wale, uone kama atakuwa mstahimilivu na mwenye bidii. Uone kama atachoka kuwatunza wazazi wako walo wazee wakati ule ambao watahitaji msaada wako. Uone kama atakushawishi utengane nao na kukushawishi umpende yeye peke yake na kusahau baba na mama ambao badala ya kupata binti watakuwa wamempoteza mwana.

Mambo ya kuzingatia katika kuchagua mvulana wa maisha
Kabla msichana hajatoa mkono wake kwa mvulana na kuvishwa pete ya uchumba, kwanza na ajiulize kama yule mvulana wanayekaribia kuoana anafaa ama vipi. Mwenedo wake na tabia yake ya siku zilizopita ulikuwa wa namna gani? Je maisha yake ni masafi? Je upendo akuonyeshao unatoka moyoni na unaonyesha heshima na tabia njema ama ni upendo wa hivi hivi tu? Je anao mwendendo ambao utanifanya kuwa na furaha? Mimi kama mke nitaweza kuwa na furaha niwapo kwake? Je ataniruhusu kudumisha tabia yangu na kunipa uhuru ama itanilazimu kutupilia mbali yote na kufuata matakwa yake? Maswali kama haya yakizingatiwa kwa busara yatakuwa na manufaa sana katika maisha yajayo ya msichana ambaye anatarajia kuolewa.

Kila msichana anayetamani kuwa na familia yenye furaha na amani, ambayo haitakuwa na udhaifu wala huzuni katika siku za baadae na ajiulize maswali haya kabla ya kutoa ukubali wake wa upendo.


  • Je huyo unayemtaka awe mwenzi wako ana hofu na kumcha Mungu?
  • Je ana afya njema?
  • Je ana bidii katika kazi?
  • Je msafi wa kimwili na kiroho?
  • Je ni mlevi?
  • Je ni mtii, mnyenyekevu na mwenye adabu?
  • Je anajiheshimu na kuvaa mavazi yenye heshima?
  • Je ni mwaminifu?
  • Je ni mtu anayetunza siri katika uhusiano wenu?
  • Je ni mkristo, mpagani au mwislamu mwenzangu?
  • Je mpenzi wangu anaye mama?
  • Je tabia ya mama yake ikoje?
  • Je anatambua wajibu wake kwa mamaye?
  • Je anajali upendo na furaha ya mama yake?
Ikiwa hajali wala hamheshimu mama yake, kweli ataweza kuonyesha heshima na upendo, wema na usikivu kwa mkewe?
Je harusi itakapokwisha atakuwa na huruma kwa makosa yangu ama atakuwa ananikosoa mara kwa mara huku akiwa mgomvi na mkali?


Katika kuyajibu maswali haya shauklu nyingi yaweza kupishia mbali makosa na kasoro za mchumba wako, lakini upendo wa kweli hautaficha neno. Katika kuchagua mwenzi wa maisha, msichana na achague mvulana mwenye tabia na mwenendo safi wa kibinadamu, aliye na bidii, mwangalifu, mwenye heshima na aliye mwaminifu na mnyofu.

Ikiwa umefanya uchumba na mtu ambaye huelewi vyema tabia yake, usidhani kushika uchumba kutakulazimisha kuchukua kiapo cha ndoa na kuungana na mtu ambaye humpendi na ambaye wala hutamheshimu maishani mwako. Jihadhari sana unapofanya uchumba wenye masharti; lakini hata ukiwa ni uchumba wenye masharti, ni bora mara kumi kuuvunjilia mbali huo uchumba kabla ya kufunga ndoa kuliko kuja kuvunja ndoa baadae kama wengi wafanyavyo.

Read More »

Suluhisho rahisi kwa wanaodhani wamepungukiwa nguvu, wanaosumbuka kurudia tendo au kuwahi kufika kilele mapema

Yafuatayo yaweza kusaidia kuboresha kulifurahia tendo la ndoa zaidi na kwa muda zaidi.

Kuuweka Mwili vizuri: Ni wazi kuwa tendo hili linachagiwa sana na mzunguko mzuri wa damu. Mwili ukiwa kwenye hali nzuri kiafya na tendo huwa linaenda ipasavyo. Na mwili ukiwa dhoofu basi tegemea tukio dhoofu pia. Hivyo ukitaka kuwa na matokeo mazuri kwenye ndoa yako, jitahidi sana kujiweka vizuri kwa kula sahihi na kufanya mazoezi mepesi mepesi tu kwa wale wanaoweza kuutumia muda vizuri wapiti pite Gym walau siku mbili na kuendelea kwa wiki.

Kufahamu kuwa kupumzika kwa uume baada ya baada kufika mara ya kwanza sio tatizo. Kwa wanaume walio wengi, baada ya mshindo wa kwanza hupumzika kidogo kabla ya kuendelea na awamu nyingine. Japo kuna ambao wana uwezo wa kuendelea moja kwa moja bila kupumzika (law ya use and misuse inahusika kwa wengine apa). Kwa hio kusinyaa kwa uume baada ya mshindo wa kwanza, isifahamike kuwa ni upungufu wa nguvu bali ni ajdustiment ya mwili wenyewe kutokana na kwamba mwanaume kabla ya tendo mapigo ya moyo huongezeka na huchangia damu kwenda kwa kasi, na kwa hali hio anakua yupo juu sana kimhemko, inapofikia anamaliza raundi ya kwanza mwili unakua unapoa /umesharudi kwenye hali yake ya kawaida, ndiko kunakosababisha hio maneno kusinyaa kwa wengi wakati mapigo ya moyo yanaporudi kawaida (MWILI KUPOA).

Maandalizi ya mwili.
Wanaume tupo tayari muda wote… ila linapokua swala ya mwenza wako (kwa kuwa muda unaotumia kwa maandalizi na tendo una uhusiano wa moja kwa moja na satisfaction ya mwenzio)… unahitaji muda angalao nusu saa na kuzidi kujiandaa na mwenzi wako. Kama timu ya mpira inapoenda ugenini huhitaji muda kuzoea mazingira, ndio na mwanaume anavyohitaji muda kuzoea mazingira ya ugenini. Hili linakusaidia sana mwanaume kutoka kwenye mihemko na kurudi kwenye hali yako ya kawaida ambayo itakusaidia kuwa na muda mzuri zaidi wa kufurahia tendo. Jitahidi pia kuvuta pumzi nyingi ndani na uiachie polepole kukusaidia kukuweka kwenye utulivu mzuri.

Timing ya kuanza tendo: Kwa kuwa tendo linahusisha sana hisia za mwili, ukiwa umetumia muda unaotosha kuandaana, basi usiwe na papara mwanzoni, bali uwe na utulivu, pia jitahidi kuzungumza moja mawili wakati unaanza kuzoea mazingira mengine (core business) EPUKA UHARAKA na kuweka sana akili yako hapo, jinafikie mwenyewe kuwa its just a normal thing (mental pride)

Concetration/ Umakini uliopitiliza… Unapaswa kumfanya mkeo aweke akili yake yote hapo, na wewe unatakiwa katika kumuweka mkeo kwenye concentration uuharibu umakini wako (level of concentration). Ukiweka concentration ya juu sana kwenye tendo… haikuchukui dakika mbili umemaliza, na kuirudisha tena ile hali ya concentration uliokua nayo mwanzo itakuwia ngumu sana….. Usiweke sana akili yako hapo kama unataka kufurahia kwa muda zaidi. ila kama hutaki kudumu.. weka akili na umahini wako hapo woote.. just seconds or a minute you are done

MAZOEZI ya mwili ni muhimu sana sana sana sana sana kwetu wanaume. Kama huna muda wa kwenda jimu walau ukiamka piga ‘PUSH-UPS walau 50'' kila siku na ''SQUARTS'' . haya ni mazoezi mepesi lakini ni BORA zaidi kwa mwanaume. Kwetu sisi wanaume tunatumia sana misuli yetu wakati huu, kwa hio kuna ulazima wa kutafuta ustahimilivu wa misuli ''mussle strength n perseverance''. Hio kitu ni starehe na unatakiwa baada ya tendo uwe umekuwa refreshed na sio uwe unaumwa kila mahali na sijui joints zinauma sijui nini nini? ukijiona unakuwa hivyo baada ya tendo ujue mwili wako haujakaa fiti ipasavyo kimazoezi/kiafya

Pia Afya ya Akili inahusika sana, Japo inahitaji jitihada makhususi... lakini kila mtu ana uwezo wa kuchagua nini cha kufikiria na nini si cha fikiria(kupuuzia) na pia akienda hatua zaidi anaweza kupuuza kila kitu kwa wakati fulani kama unajua una huo uwezo na ukaamua kuutumia. Pia kuchagua kufikiri yale yaliopo kwenye uwezo na urefu wa kamba yako pekee; vitu usivyo na uwezo navyo utajisumbua tu bure na kujipa stress zaidi. Weka nguvu na jitihada zako kwenye kutafuta ufumbuzi wa changamoto zako, jifunze na acha kufikiria matatizo kwa maana hakubadilishi kitu na yataendelea kuwa hivyo n.k n.k................ Ukiwa na namna nzuri ya kuyachanganua mambo yako utasaidika sana kwenye afya ya akili yako na kuwa vizuri zaidi

Read More »

Video..Zari na Diamond Wajirekodi Video Wakipeana Mapenzi Mubashara Mchana Kweupee



Read More »

Mbinu za kumfikisha mwanamke mwenye makalio makubwa kileleni kwa haraka zaidi

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea.

Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”.

Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja.

Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine wasijue hata utamu huo ukoje (well ule wa kipele ni tofauti kabisa na ule wa kisimi) lakini sio mbaya kama utapata hata huo wa juu kwa juu ambao ni wa kisimini.

Sehemu pekee ambayo itakufanya wewe mwanamke ufike kileleni kwa haraka ni kwa kufanyiwa kazi kwenye kisimi chako. Kuna wanaume ambao ni “wajanja” na hawaoni tabu kutumia ndimi zao kuwaridhisha wapenzi wao, wengine hutumia vidole na wengi hutumia uume wao(katerero).

Lakini ngoja nikuambie, fanya yote lakini ulimi ni mwisho wa mambo ikiwa ulimi huo utachezea kisimi katka mitindo ya a-z, mzunguuko, #8, pembe 2 pembe. Sio wajilambia kama “ice cream”, anatakiwa kutumia ncha ya ulimi kulamba na midomo ya nje + ulimi kukinyonya kidude.

NB: FANYA YOTE HAYA KWA MTU MNAYEAMINIANA NA MKIWA MMEPIMA HAMNA UKIMWI NA MAGONJWA YOYOTE YA ZINAA!!!

Read More »

Kwa Wanawake tu .Fahamu Mbinu za Kumpagawisha Mumeo ndani ya sita kwa sita hadi kuona wewe ni mtamu kama asali , Hakuachi kamwe.!!!

Weekend hii nimeona ni vyema tuzungumzie kidogo kuhusu masualaya mahusiano pia kutokana na sekta hiyo kuwa na umuhimu wake pia katika maisha ya mwanadamu.

Katika masuala haya ya mapenzi nimeona ni vyema niaanze kuongea na wanawake kuhusu namna ya kuweza kufanikisha kummaliza mwanaume katika sita kwa sita.

Jambo la kwanza wanamke unapaswa kuwa jasari na mwenye kuamini katika kile unachofanya katika mapenzi, ambapo wewe mwanamke unatakiwa mkishafika katika uwanja wenu wa zoezi husika katika sikiu hiyo, Hakikisha unajitahidi wewe kuanza kumvua nguo mwanaume, huku ukimshika baadhi ya sehemu mbalimbali za mwili wake ambazo unaamini zitamsababishia msisimko mkubwa.

Baada ya zoezi hilo nawe pia (mwanamke)unaweza kutoa nguo zako kisha mkumbatie mmeo , huku mkigusanisha ngozi za miili yenu. Tambua ya kwamba ngozi huwa na mishipa midogo midogo yenye ufahamu ambayo hutoa taarifa mbalimbali za mwili kwenye ubongo, hivyo kitendo cha miili yenu kugusana huchangia kuibua hisia za kimapenzi zaidi.

Unapoona tayari mwanaume yupo tayari katika hali ya hisia kali za kimapenzi kabla ya kumruhusu akuingilie unaweza kuendelea kumshika baadhi ya sehemu za mwili mfano ndevu, sehemu zake za siri na mkune kwenye viganja vyake na mapaja na nk.

Fahamu ya kwamba mapaja ya mwanaume huwa na hisia kali, hivyo unaweza kuyashika zaidi kwa ustadi mkubwa, huku ukitumia vidole vyako na utaona akisisimka zaidi.

Sehemu nyingine ambayo itakusaidia wewe mwanamke kuweza kumsisimua vizuri mwanaume ni kwa kumshika maeneo ya kifuani kuelekea tumboni maeneo hayo huwa na msisimko mkubwa kwa wanaume walio wengi.

Eneo jingine lenye hazina kubwa na ya msisimko wa mapenzi kwa wanaume ni sehemu ya uume ambapo mwanamke huweza kushika ile sehemu ya mbele (kichwa cha uume) ambapo humfanya mwanaume kupata msisimko wa kimapenzi kwa haraka zaidi.


Uwapo katikati ya tendo hakikisha unkuwa serious na zoezi hilo, huku ukijitahidi kuepuka kucheka kwa jambo lolote lile hata pale mwenzi wako anapotoa sauti za kufurahisha wakati wa katikati ya tendo.


Pamoja na hayo, mwanamke uwapo katikati tendo hilo na mwenzi wako jitahii sana kujiachia maungo yako kwa mmeo, kwani kwenye tendo hilo la ndoa huwa hakuna uheshimiwa hivyo ni vyema ukajiachia.


Katika tendo la ndoa pia sauti na maneno ya kimahaba ni muhimu sana wakati wa tendo la ndoa kwani huongeza hamasa katika tendo hilo.


Baada ya kumaliza tendo hilo kumbuka kusema asante na mpe pole mwenzi wako kwa kazi pevu, kisha chukuwa kitambaa na mkaushe kijasho cha utamu wa penzi kwa taulo uliloandaa maalum.


BOFYA KUANGALIA VIDEO HII UONE WAREMBO WAZURI KUTOKA RWANDA



Read More »