YANGA YAFANYA KWELI ,YAIPA NDANDA FC KIPIGO KIZITO
Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea tena leo December 28 kwa Dar es Salaam Young Africans kucheza dhidi ya Ndanda FC, Yanga imefanikikiwa kuifunga Ndanda FC goli 4-0, magoli yakifungwa na Donald Ngoma dakika ya 4 na 21, Amissi Tambwe dakika ya 25 na Vincent Bossou.